Bahati ya Kezo na hadithi nyingine


Licha ya kuzaliwa na kulelewa katika familia maskini, Kezo anaonyesha uaminifu katika zoezi analopewa na mfalme. Ni kutokana na uaminifu huu ndipo inapobainikiwa kuwa kumbe binadamu anaweza kuwa maskini wa pesa ila akajaaliwa utajiri wa moyo, adabu na uaminifu. Je, ni vipi uaminifu wa Kezo unakuwa bahati kwake na tunu kwa wazazi wake?

KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000008298
Author Queenex
ISBN 9789966141989
Publisher Queenex
SKUBK00000008298

Reviews

Leave a product review
or cancel