Bahati ya Kezo na hadithi nyingine

by Queenex


Licha ya kuzaliwa na kulelewa katika familia maskini, Kezo anaonyesha uaminifu katika zoezi analopewa na mfalme. Ni kutokana na uaminifu huu ndipo inapobainikiwa kuwa kumbe binadamu anaweza kuwa maskini wa pesa ila akajaaliwa utajiri wa moyo, adabu na uaminifu. Je, ni vipi uaminifu wa Kezo unakuwa bahati kwake na tunu kwa wazazi wake?

ISBN: 9789966141989 SKU: BK00000008298
KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review

Products you recently viewed